Friday, February 7, 2020

Jinsi ya Kutengeneza SABUNI ya kunawia MIKONO - 02 - Mafunzo JIUNGE NASI

MALIGHAFI ZITUMIKAZO KATIKA SABUNI YA MIKONO (HANDWASH LIQUID GEL) 1. Sulphonic acid2 . Sles  ( unga rol)3. Soda ash Light4. Cde5 . CMC6. Chumvi 7. Gylcerine8. Rangi na pafyumu..CC : @Gawaza_brain"Kazi yetu kuelimisha"EMAIL : mgawaza12@gmail.comPHONE : 0684-863138 l 0718-567689.©2019..#Gawaza Brain#Young Lea...

Jinsi ya Kutengeneza SABUNI ya kunawia MIKONO - 01 - Mafunzo JIUNGE NASI

MALIGHAFI ZITUMIKAZO KATIKA SABUNI YA MIKONO (HANDWASH LIQUID GEL) 1. Sulphonic acid 2 . Sles  ( unga rol) 3. Soda ash Light 4. Cde 5 . CMC 6. Chumvi 7. Gylcerine 8. Rangi na pafyumu . . CC : @Gawaza_brain "Kazi yetu kuelimisha" EMAIL : mgawaza12@gmail.com PHONE : 0684-863138 l 0718-567689. ©2019. . #Gawaza Brain #Young Leade...

Ep05 : MAPISHI YA BAGIA ZA DENGU

...

MASHINE ZA CRIPS AINA ZOTE ni IMARA SANA

MASHINE ZA CRISPS Zipo za aina 2.  a)  Mashine Kubwa Bei yake elfu 25 tsh ( 25, 000/=)    Sifa zake - Inakata crisps size za aina 8. - Ina adjastable ambayo inazungusha kisu kupata size. - Ina regulator kwa ajili ya kuzungusha kisu. - Ina handle (mkono ) kwa ajili ya kushikia. b) Mashine ndogo. Bei yake elfu 20 Tsh (20,...

MASHINE YA CRISPS na MASHINE ZA TAMBI

MASHINE ZA TAMBI Zipo za aina nyingi,  mimi ninazo aina moja tu.  a)  Mashine ya Tambi Bei yake elfu 35tsh ( 35, 000/=)    Sifa zake - Inatoa Tambi size za aina nane ( 8). JINSI YA KUZIPATA NA KULIPIA Tunalipia baada ya kuipata mashine kwa watu watakao zifata mashine. Mahali tulipo ( TABATA MWANANCHI ) ipo katikati...

KITABU : MAFUNZO YA UNGA LISHE na MAJANI YA CHAI - 4000 tsh

UNGA WA LISHE NA CHAI HAI. Kitabu ambacho kinamuwezesha Mjasiriamali au mtengenezaji wa Unga wa lishe kutengeneza bidhaa ambayo itakuwa bora kwake. Msingi mkuu atakao upata katika kitabu hiki,  ni kujua vipimo na kujua kanuni mbalimbali za kutengeneza unga wa lishe. Mtu akikuuliza CHAI HAI ni nn?  Mwambie ni majani ya chai ambayo yametengenezwa...

Wednesday, February 5, 2020

SABUNI YA MAGADI, YA KIPANDE NA TIBA- Kitabu chke 5000/ Tsh- 0684 863138

KITABU NI KIPYA. jina. JIFUNZE UTENGENEZAJI WA sabuni ya Kipande, sabuni ya magadi na Sabuni ya Tiba. SIFA YA KITABU HIKI Kitabu kina page(kurasa) 33. Kina Mb 3.0 kina masomo matatu tu. Gharama : 5,000 tsh Jinsi : Ya kukipata ni SOFT COPY. unatumiwa kwa whtsap, au email au telegram. SABUNI AINA 3, sabuni ya mche, sabuni ya tiba na sabuni...