Thursday, February 22, 2018

JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI MBALIMBALI( mohammed gawaza)



JINA LA MWANDISHI  : Mohammed  A. Gawaza
MAWASILIANO            :  0684-863138   /     0718- 567689      /  0743 - 214416
                 Email          :mgawaza12@gmail.com
                Youtube        :  Gawaza Online TV  ( G.O.T )
                Blog                : www.gawazabrain.blogspot.com
JINA LA KITABU           : MJASIRIAMALI MBUNIFU
JINA LA MAKALA         : UTENGENEZAJI WA SABUNI MBALIMBALI







SABUNI { SOAP }
Maana ya sabuni
            Nibidhaa ambayo hutumika kwa matumizi mengi sana katika jamii zetu husika, Ni bidhaa chache sana zilizo muhimu na hutumiwa sana kwa matumizi kama sabuni .
Na hii imethibitishwa katika kila hatua yako ya maisha lazima utumie sabuni , utotoni ulitumia sabuni na mpaka sasa.
Tangu ilipotengenezwa kwa mara ya kwanza imeachwa kuwa ni bidhaa muhimu inayotumiwa kila siku.
            Mwana kemia mmoj aliwahi kusema katika karne ya 19 kwamba “ Utajiri na ustaarabu wa taifa huamuliwa na kiasi cha sabuni kinachotumniwa”

MATUMIZI MBALIMBALI YA SABUNI

    Matumizi makuu ni kuondoa Uchafu wa aina yeyote , matumizi ni kama ifuatavyo;
§  Kufulia
§  Kuoshea vyombo
§  Kusafishia vitu mbalimbali mf. sinki
§  Kuogea
§  Kunawia mikono N.K





0 comments:

Post a Comment