Tuesday, August 28, 2018

Saturday, August 18, 2018

Friday, August 17, 2018

MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WATU WOTE ( *KWA SIKU 7* )

WHATSAPP ONLINE CLASS

*GAWAZA ENTREPRENUERSHIP GROUP*

Kikundi cha Ujasiriamali Chini ya Mohammed Gawaza



INAWALETEA MAFUNZO  YA UJASIRIAMALI KWA WATU WOTE DUNIAN ( *KWA SIKU 7* )



*KUANZIA TAR 01-09-2018  Hadi 08- 09 - 2018*

Ukumbi: WHATSSAP MG


*MAFUNZO YATAKAYOTOLEWA*

BIDHAA ZA VIWANDANI..

*Utengenezaji sabuni za Unga ( Detergent powder)

*Utengenezaji wa sabuni za nyanya ( Tomato soap)

*Utengenezaji wa shampoo ( shampoo making)

*Utengenezaji wa sabuni za kunawia mikono (Hand wash)

*Utengenezaji wa chaki ( School chalk)

*Utengenezaji Sabuni za Maji ( Liquid soap)

*Utengenezaji BATIKI

*Utengenezaji VIKOI

*Utengenezaji JIKI

*Utengenezaji Dawa za Kusafishia Vyoo na Masinki

*Utengenezaji Sabuni za vipande, Majivu, Magadi, NK.



JINSI YA KUSAJILI KAMPUNI NA BIDHAA MBALIMBALI

*Usajili wa jina la kampuni

*Usajili wa bidhaa maalumu

*Usajili ya kampuni binafsi

*Usajili wa kampuni ya watu kuanzia wawili

*GHARAMA ZA MAFUNZO HAYA YOTE NI ELFU 5*  (5000 Tsh)

*(Mafunzo Haya Yatakuwa Kwa Nadharia na kwa videos kupitia whtssap)*

*Semina hii itatolewa na Wakufunzi Maalumu*
   
   -Mohammed Gawaza
   -Jafari  Kamatia
   -Alphani mazudo.


*NOTE*

*USILALE MTANZANIA AMKA SASA,  JIUNGE TUTAMBUE FURSA PAMOJA*

ILI KUJIUNGA NA MAFUNZO HAYA..

TUMA TAARIFA ZAKO
 - Jina lako
- Namba yako ya whtsap
- Mahali unapoishi.
-Na sms ya uthibitisho wa malipo.

 KWA *NAMBA  ZIFUATAYO ZA MALIPO*

Mohammed Gawaza.
1. 0684-863138 -- Airtel
2. 0718-567689  --Tigo

*SEMINA HII NI SAWA NA BURE KABISA*
Thibitisha Ushiriki Wako Kabla Tar  29/8/2018 Mchana. 

*WOTE MNAKARIBISHWA SANA*

IMETOLEWA NA

#Gawaza Brain
#Mohammed Gawaza
#Young Entreprenuer
.....



" Young Entreprenuer "
        Gawaza Brain 

KITABU KIPYA CHA UJASIRIAMALI KINAUZWA 0684-863138

KWA maelezo zaidi nipigie namba yangu  , 0718-567689 au  0684-863138  Jina Mohammed Gawaza ni kizuri kwa lugha ya nyepesi ya kiswahili . Kina elezea mbao mengi sana kuhusu ujasiriamali jinsi ya kutengeneza bidhaa mbali mbali za viwandani.




Sunday, August 5, 2018

KAZI AMBAZO MOHAMMED GAWAZA mjasiriamali mbunifu huwa anafanya kila siku,


Mohammed Gawaza mwalimu wa ujasiriamali hapa baada ya kutengeneza sabuni ya unga na kuanza kuijaribu katika matumzi.. Ilikuwa ni maeneo ya sinza moli.


Mohammed Gawaza akiwa katika mafunzo kwa vitendo huko sinza moli maeneo ya horizon cpllages


Utengenezaji wa sabuni ya unga hadi raha kwa vitendo mwanzo mwisho




Baadhi ya wanafunzi wangu ambao walifanikiwa kufika eneo la tukio hilo hapo sinza moli



Baadhi wa wanafunzi wakishiriki katika mafunzo.


Kazi kazi hakuna mzee wala kijana hapa





Nasikia raha na fahari sana kuona nyuma yangu kuna watu kama mia 500 hivi wana nifatilia kwa kila ninacho kifanya kwa siku.