Sunday, August 5, 2018

KAZI AMBAZO MOHAMMED GAWAZA mjasiriamali mbunifu huwa anafanya kila siku,


Mohammed Gawaza mwalimu wa ujasiriamali hapa baada ya kutengeneza sabuni ya unga na kuanza kuijaribu katika matumzi.. Ilikuwa ni maeneo ya sinza moli.


Mohammed Gawaza akiwa katika mafunzo kwa vitendo huko sinza moli maeneo ya horizon cpllages


Utengenezaji wa sabuni ya unga hadi raha kwa vitendo mwanzo mwisho




Baadhi ya wanafunzi wangu ambao walifanikiwa kufika eneo la tukio hilo hapo sinza moli



Baadhi wa wanafunzi wakishiriki katika mafunzo.


Kazi kazi hakuna mzee wala kijana hapa





Nasikia raha na fahari sana kuona nyuma yangu kuna watu kama mia 500 hivi wana nifatilia kwa kila ninacho kifanya kwa siku.

0 comments:

Post a Comment