Monday, November 26, 2018

#MAFUNZO YA UJASIRIAMALI TRH 5-12/12/18 #JIUNGE 0718-567689

Habari zenu wajasiriamali karibuni sana katika fani hii ya ujasiriamali, naitwa mohammed  Gawaza ni mwali na muhamasishani kuhusu maswala mbalimbali ya kijasiriamali.

Nimeandaa kozi maalumu ya kijasirimali amabayo itafanyika online kupita whtsapp na itaanza rasimi tarehe 5/12.2018 mpka tarehe 12/12/2018. kuta kuwa na massomo mengi sana kama vile ambayo tumetaja katika tangazo hapo chini.

Malipo yatafanyika kupitia namba za tigopesa ambayo ni 0718-567689  Na malipo yakakuwa kama ifuavyo , MASOMO yatagharimu elfu 6 tu, na kitabu kitagharaimu elfu 7 tu, na ikiwa mtu atataka masomo na kitabu atalipia elfu 9 tu kwa namba nizilizo zitaja hapo juu.
karibuni sana....


0 comments:

Post a Comment