Wednesday, January 9, 2019

MAFUNZO YA UJASIRIAMALI TAREHE 15-01-2019 wahi sasa

MAFUNZO YA UJASIRIAMALI
YATAANZA Tarehe 15-10-2019 mpaka tarehe 21-01-2019, kwa wote watakao kuwa tayari kujiunga naomba tuwasiliane nami mohammed gawaza
0718-567689
0684-863138
0743-214416
0620-320597
Youtube : Gawaza Brain
instagram : Gawaza_Brain
Mafunzo yatakuwa ndani ya wiki moja tu, na GHARAMA ya kujiunga ni elfu 6 (6,000tsh) za kitanzania karibuni wote.
Kwa ambao pia watahitaji kitabu cha ujasiriamali pamoja na mafunzo jumla watalipia elfu 10 (10,000 tsh) na kama mtu atahitaji kitabu tupu bila mafunzo atalipia elfu 7 (7,000tsh).
Malipo yafanywe kupitia namba zangu tigopesa 0718-567689 kwa jina Mohammed Gawaza.
Mafunzo yatafanyika online kwa kutumia WHATSAPP account zetu kwa group la (ELIKIMA)
Masomo yatakayofundishwa ni kama ifuatavyo,
-Sabuni za Unga (Detergent soap)
-Sabuni za kipande (Bar soap)
-Sabuni za maji (Liquid soap)
-Sabuni za magadi (Bar soap style)
-Sabuni za mikono (Hand wash)
- Sabuni za chooni( Toilet cleaner)
-Sabuni za nywele (Hair shampoo)
-Sabuni za tiba (Medicated soap)
-Sabuni za kuogea (Shower gel)
-Sabuni za kazi (Multipurpose soap)
- Mafuta ya mgando (Petroleum gel)
-Mafuta ya nazi ( Coconut Oil)
-Mafunzo ya batiki (Clothes style)
-Dawa ya madoa (Jiki)
-Chaki na mishumaa ( Chalks, Candle)
Na mengine ya ziada kwa wote ambao wapo tayari kujiunga na hili wanipe taarifa zao kupitia whtsapp yang 0684-863138 haraka iwezekanavyo.
KARIBUNI SANA.

0 comments:

Post a Comment