Friday, July 27, 2018

Friday, July 20, 2018

MALIGHAFI ZA SABUNI YA MICHE / MATERIALS by MOHAMMED GAWAZA


MALIGHAFI ZA SABUNI YA MICHE / MATERIALS



     Hizi malighafi ni kama mwongozo sabuni ndogo lakini unaweza ukazidisha kupitia hivi na kupata sabuni nyingi zaidi,
§  Caustic Soda   (450g )
§  Slec/ unga low  ( nusu kilo )
§  Pafyumu(Rose, lemon, kasablanka n.k )vijiko kadhaa
§  Sodium silicate
§  Maji safi chupa 4 za soda
§  Mafuta(mawese, mise, nazi, ubuyu)- (lita moja) na  Mashudu kiasi
VIFAA VITUMIKAVYO
§  Beseni/sufuria kubwa safi / Ndoo safi
§  Mwiko mrefu
§  Gloves
§  Mask
§  Kipimio 
§  Soap moulder

JINSI YA KUTENGENEZA

1)    Andaa beseni safi kisha mimina maji chupa 4 za soda.
2)    Weka Caustic soda 450g koroga mpaka ziyeyuke (Hii ipo katika hali ya chengachenga,ukiweka  maji yatakuwa yamoto hivyoutakoroga ili maji yapoe)
3)    Weka mafuta yako lita moja 1  na mashudu kisha koroga kwa dakika kadhaa.
4)    Weka sodium silicate kisha koroga tena kwadakika kadhaa mpaka upate uzito unaotaka
5)    Na mwisho utaweka sles/ unga low nusu katika mchanganyiko wako kisha koroga tena vizuri mpaka upate mchanganyiko mzuri zaidi na
6)    Kisha utaweka pafyumu yako vijiko 4-5 kutokana na harufu unayoitaka .
7)    Hapo utakuwa tayari umeshamaliza kutengeneza , kisha weka katika chombo(soap moulder)hapo utasubiri siku moja au 2 sabuni yako itagande naitakuwa tayari kwa matumizi.

MAANA KAMILI YA NENO SABUNI BY MOHAMMED GAWAZA


JINA LA MWANDISHI  : Mohammed  A. Gawaza
MAWASILIANO            :  0684-863138 / 0718- 567689 /  0743 - 214416
                 Email            :mgawaza12@gmail.com
                Youtube        :  Gawaza Online TV  ( G.O.T )
                Blog              : www.gawazabrain.blogspot.com
JINA LA KITABU      : MJASIRIAMALI MBUNIFU
JINA LA MAKALA   : UTENGENEZAJI WA SABUNI ZA MICHE / VIPANDE – BAR SOAP

SABUNI { SOAP }
Maana ya sabuni
            ni bidhaa ambayo hutumika kwa matumizi mengi sana katika jamii zetu husika, Ni bidhaa chache sana zilizo muhimu na hutumiwa sana kama sabuni .
Na hii imethibitishwa katika kila hatua yako ya maisha lazima utumie sabuni , utotoni ulitumia sabuni na mpaka sasa.
Tangu ilipotengenezwa kwa mara ya kwanza imeachwa kuwa ni bidhaa muhimu inayotumiwa kila siku.
            Mwana kemia mmoj aliwahi kusema katika karne ya 19 kwamba “ Utajiri na ustaarabu wa taifa huamuliwa na kiasi cha sabuni kinachotumniwa”




JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI ZA MICHE ( BAR SOAP) - 0718- 567689


JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI ZA MICHE
( bar soap)




 MAHITAJI YA MALIGHAFI.

(i)                Caustic soda
(ii)             Mafuta ya nazi,mise,mbosa au mawese au ya nyonyo
(iii)           Maji
(iv)           Pafyum
(v)             Hydrogen peroxide
(vi)           Chumvi kwaajili ya kuifanya sabuni nzitonaisiisheharak

VIFAA VINAVOTAKIWA
(i)  Mwiko mrefu – kwa ajili ya kukorogea.
(ii)                       Beseni au ndoo safi -  kwa ajili ya kuchangamnyia sabuni.
(iii)                    Kipimio – kwa ajili ya kupima vitu mbalimbali.
(iv)                     Maski – kwa ajilki ya kujikinga na chemikali.
(v)                        Gloves – kwa ajili ya kujikinga na chemikali pia.
(vi)                     Soap moulder – hii kwaajiliyakuipa shape sabuni.
JINSI YA KUTENGENEZA;
hatua ya kwanza;
Loweka caustic soda kilo tatu kwenye maji lita 9 na unapaswa kutumia chombo cha bati na sio cha plastic.Koroga kwa muda wa dakika 15 na acha kwa muda wa siku 5.
hatua ya pili;
Chagua aina ya mafuta mojawapo ambayo umeyapata na anza kuchanganya sasa.Changanya caustic soda1 na mafuta lita 1 na nusu.changanya na gryceline vijiko viwili vya chakula.pafyumu kijiko kimoja cha chai. Chumvi kijiko kimoja cha chakula.koroga kwa pamoja na uweke kwenye umbo na sabuni itakuwa tayari

Kama unataka maelezo kuhusiana na duka au maduka ambayo vifaa vinapatikana tuwasiliane kwenye

Mgawaza12@gmail.com au
Simu :   0684-863138
              0718-567689
              0743-214416
Mohammed Gawaza

 JINA LA MWANDISHI  : Mohammed  A. Gawaza

MAWASILIANO              :  0684-863138   /0718- 567689  /  0743 - 214416
               Email                  :  mgawaza12@gmail.com
                Youtube             :  Gawaza Online TV  ( G.O.T )
                Blog                    : www.gawazabrain.blogspot.com
JINA LA KITABU           : MJASIRIAMALI MBUNIFU
JINA LA MAKALA        : UTENGENEZAJI WA SABUNI YA KIPANDE .

Wednesday, July 11, 2018

Sunday, July 1, 2018

MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KUPITIA WHATSAPP TAREHE 07-07-2018.

JINA LA MWANDISHI  : Mohammed  A. Gawaza
MAWASILIANO             :  0684-863138 / 0718- 567689 / 0743 - 214416
               Email                   : mgawaza12@gmail.com
                Youtube             :  Gawaza Online TV  ( G.O.T )
                Blog                    : www.gawazabrain.blogspot.com

JINA LA KITABU           : MJASIRIAMALI MBUNIFU.

Kutakuwa na mafunzo ya ujasiriamali kuhusu kutengeneza bidhaa mbalimbali za viwandani
hayo yatafanyika kufikia terehe 07-07-2018 mpaka tarehe 14-07-2018. 

usipange kukosa na yatafanyika kwa  njia ya whtsap ambapo video za mafunzo zitakuwa zikitolewa na malipo ni elfu 5 tu kwa kila mtu haya yote utayafahamu kama vile...

-sabuni za maji
-sabuni za vipande
-sabuni za unga
-shampoo na lotion
-windows cleaner
-sabuni za masinki
-class and tiles cleaner
-handwash na shower gel
-mafuta ya mgando na 
-mafuta ya nazi

Jikaze mjasimali kwani hii ni sawa bure

VIZURI VYOTE HUWA NI VYA YHAMANI NA GHALI SANA.

Imeandikwa lazima iwe ngumu ili wawe nayo wachache.
       Mohammed Gawaza



MAFUNZO YA UJASIRIAMALI VIA WHATSAPP - 0718-567689 ( 07-07-2018)







JINA
LA MWANDISHI  :
Mohammed  A. Gawaza
MAWASILIANO             :  0684-863138
/ 0718- 567689 / 0743 - 214416
              
Email                   :
mgawaza12@gmail.com
                Youtube             : 
Gawaza Online TV  ( G.O.T )
                Blog                    : www.gawazabrain.blogspot.com


JINA
LA KITABU          
: MJASIRIAMALI MBUNIFU.


Kutakuwa na mafunzo ya ujasiriamali kuhusu kutengeneza bidhaa mbalimbali za viwandani

hayo yatafanyika kufikia terehe 07-07-2018 mpaka tarehe 14-07-2018. 



usipange kukosa na yatafanyika kwa  njia ya whtsap ambapo video za mafunzo zitakuwa zikitolewa na malipo ni elfu 5 tu kwa kila mtu haya yote utayafahamu kama vile...



-sabuni za maji

-sabuni za vipande

-sabuni za unga

-shampoo na lotion

-windows cleaner

-sabuni za masinki

-class and tiles cleaner

-handwash na shower gel

-mafuta ya mgando na 

-mafuta ya nazi



Jikaze mjasimali kwani hii ni sawa bure



VIZURI VYOTE HUWA NI VYA YHAMANI NA GHALI SANA.



Imeandikwa lazima iwe ngumu ili wawe nayo wachache.

       Mohammed Gawaza