Sunday, July 1, 2018

MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KUPITIA WHATSAPP TAREHE 07-07-2018.

JINA LA MWANDISHI  : Mohammed  A. Gawaza
MAWASILIANO             :  0684-863138 / 0718- 567689 / 0743 - 214416
               Email                   : mgawaza12@gmail.com
                Youtube             :  Gawaza Online TV  ( G.O.T )
                Blog                    : www.gawazabrain.blogspot.com

JINA LA KITABU           : MJASIRIAMALI MBUNIFU.

Kutakuwa na mafunzo ya ujasiriamali kuhusu kutengeneza bidhaa mbalimbali za viwandani
hayo yatafanyika kufikia terehe 07-07-2018 mpaka tarehe 14-07-2018. 

usipange kukosa na yatafanyika kwa  njia ya whtsap ambapo video za mafunzo zitakuwa zikitolewa na malipo ni elfu 5 tu kwa kila mtu haya yote utayafahamu kama vile...

-sabuni za maji
-sabuni za vipande
-sabuni za unga
-shampoo na lotion
-windows cleaner
-sabuni za masinki
-class and tiles cleaner
-handwash na shower gel
-mafuta ya mgando na 
-mafuta ya nazi

Jikaze mjasimali kwani hii ni sawa bure

VIZURI VYOTE HUWA NI VYA YHAMANI NA GHALI SANA.

Imeandikwa lazima iwe ngumu ili wawe nayo wachache.
       Mohammed Gawaza



0 comments:

Post a Comment