Sunday, July 1, 2018

MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KUPITIA WHATSAPP TAREHE 07-07-2018.

JINA LA MWANDISHI  : Mohammed  A. Gawaza
MAWASILIANO             :  0684-863138 / 0718- 567689 / 0743 - 214416
               Email                   : mgawaza12@gmail.com
                Youtube             :  Gawaza Online TV  ( G.O.T )
                Blog                    : www.gawazabrain.blogspot.com

JINA LA KITABU           : MJASIRIAMALI MBUNIFU.

Kutakuwa na mafunzo ya ujasiriamali kuhusu kutengeneza bidhaa mbalimbali za viwandani
hayo yatafanyika kufikia terehe 07-07-2018 mpaka tarehe 14-07-2018. 

usipange kukosa na yatafanyika kwa  njia ya whtsap ambapo video za mafunzo zitakuwa zikitolewa na malipo ni elfu 5 tu kwa kila mtu haya yote utayafahamu kama vile...

-sabuni za maji
-sabuni za vipande
-sabuni za unga
-shampoo na lotion
-windows cleaner
-sabuni za masinki
-class and tiles cleaner
-handwash na shower gel
-mafuta ya mgando na 
-mafuta ya nazi

Jikaze mjasimali kwani hii ni sawa bure

VIZURI VYOTE HUWA NI VYA YHAMANI NA GHALI SANA.

Imeandikwa lazima iwe ngumu ili wawe nayo wachache.
       Mohammed Gawaza



Related Posts:

0 comments:

Post a Comment