Friday, May 15, 2020

MASHINE : Mzani mdogo, Mashine ya Crisps, Mashine ya Tambi, Mashine ya K...







MASHINE ZA CRISPS

Zipo za aina 2.

a) Mashine Kubwa

Bei yake elfu 25 tsh ( 25, 000/=)
Sifa zake
- Inakata crisps size za aina 8.
- Ina adjastable ambayo inazungusha kisu kupata size.
- Ina regulator kwa ajili ya kuzungusha kisu.
- Ina handle (mkono ) kwa ajili ya kushikia.


b) Mashine ndogo.

Bei yake elfu 20 Tsh (20, 000/=)
Sifa zake
- Inakata crisps size za aina moja tu.
- Ina handle (mkono ) kwa ajili ya kushikia.

JINSI YA KUZIPATA

Tunalipia baada ya kuipata mashine kwa watu watakao zifata mashine.

Mahali tulipo ( TABATA MWANANCHI ) ipo katikati ya Buguruni na Ubungo kupitia mandela road.

Mikoani zinatumwa, huko kwa njia ya basi.
Wanalipia kabisa.

Hakuna pungufu kwa mashine yeyote.
.
.
.
CC : @Gawaza_brain
"Kazi yetu kuelimisha"
EMAIL : mgawaza12@gmail.com
PHONE : 0684-863138 l 0718-567689. Whtsap
©2020.
.
#Gawaza Brain
#Young Leader

1 comment:

  1. Je thermometer mko nazo na ni bei gani, pia mzani wa kilo 300kgs, mko nazo na ni bEI GANI , niko Mwanza,

    ReplyDelete