Friday, August 28, 2020

MASHINE MAALUMU KWA KUKUNIA NAZI , haitumii umeme- Ina gharama ndogo pig...





MASHINE ZA KUKUNIA NAZI - COCONUT SCRAPER


Coconut Scraper - mashine ndogo ya mkono kwa ajili ya kukunia nazi.

MASHINE SAIZI YA KAWAIDA NI MASHINE YA MKONO.

Bei yake elfu ishirini na tano tsh ( 25, 000/=)

Sifa zake

- Mashine haitumii umeme. Ni mannual kabisa. Haina mbwembwe.

- Ina Adjastable ambayo inazungusha kupata nazi kwa haraka.

- Inachambua nasi vizuri sana.

- Haiumizi mkono. Inaweza kukwangua nazi hata 20. Kwa siku moja.

- Ina handle (mkono ) kwa ajili ya kushikia.

JINSI YA KUZIPATA

Tunalipia baada ya kuipata mashine kwa watu watakao zifata mashine hapa Tabata Mwanannchi.
Mahali tulipo ( TABATA MWANANCHI ) ipo katikati ya Buguruni na Ubungo kupitia mandela road.

Mikoani zinatumwa, huko kwa njia ya basi. Na mashine inalipiwa kabisa. Hakuna pungufu kwa mashine yeyote.

NAMBA ZA MAWASILIANO

0684-863138 ! 0753-286313 ! 0718 -567689



0 comments:

Post a Comment