Thursday, April 19, 2018

Mohammed Gawaza KARANGA ZA MAYAI NA UBUYU WA ZANZIBAR


Gawaza Fresh food ni wasambazi wa bidhaa mbalimbali za chakula ambavyo vimepikwa tayari kwa sasa tumeanza na usambazaji wa karanga za mayai na ubuyu wa Zanzibar kwa package ya shilingi za kitanzania 500= Tsh.
Mohammed Gawaza ambaye ni mjasiriamali na mwanzilishi wa channel ya ujasiriamali youtube inayoitwa GAWAZA ONLINE TV na blog yake ya kijasiriamali inayoitwa  GAWAZABRAIN.COM na ndiye muanzilishi vilevile wa hiki kikundi ambacho kinajihusisha kununua na kutengeneza na kupack karanga zao katika bidhaa zao za kila siku, Ambazo ni Karanga na Ubuyu.

Ikiwa ni katika mwanzo wa mchakato huu tupo bado kwa usambazaji na kutafuta masoko wa uuzaji wa jumla na rejareja wa bidhaa hi.
Hivyo kwa mtu anapenda kuhusu hii biashara unaweza ukatucheki kwa namba za simu ziguatazo;
0684-843138
0718-567689
0743-214416

Link on yotube below

https://youtu.be/rp_NIlheQUE


0 comments:

Post a Comment