Thursday, April 19, 2018

Mohammed Gawaza profile MJASIRIAMALI MBUNIFU.



Mwandishi wa kitabu hiki ni MOHAMMED A. GAWAZA
Simu: +255 684 863 138 / +255 718 567 689 /+255 743 214 416
Barua pepe: mgawaza12@gmail.com
Facebook : Mohammed  Gawaza
Instagram: Mohammed  Gawaza
Twitter : @Mohammed  Gawaza












April 2018.
Mwandishi, Mohammed Gawaza amezaliwa mkoani Morogoro, wilaya Kilombero, mwaka 1995. Amepata elimu ya msingi hapo kilombero na akajiunga na akajiunga na sekondari ya msamala muslim seminary mnamo mwaka 2011 mpaka 2014 na kisha akaenda kusomea Science & Laboratoty technology  Dar es salaam, DIT.
Na mwandishi amejihusisha na asasi mbalimbali za kijasiriamali na hivyo akaamua kuandika hiki kitabu MJASIRIAMALI MBUNIFU kinachoelezea utengenezaji wa bidhaa mbalimbali za viwandani mfano Sabuni ya kipande Unga, kipande, maji, za chooni na shampoo, lotion n.k.

0 comments:

Post a Comment