Thursday, April 19, 2018

Mohammed Gawaza
















Naitwa Mohammed Gawaza
Nimekuwa nkitumika kwa kiasi kingi kufundisha Ujasiriamali na vile vile nafundisha vitu sana hususani Utengenezaji wa bidhaa mbalimbali za viwandani..


    - Sabuni za maji
    - Sabuni za vipande
    - Sabuni ya unga
    - Utengenezaji wa shampoo
    - Utengenezaji wa lotion mbalimbali n.k


0 comments:

Post a Comment