Wednesday, January 1, 2020

KWA MAHITAJI : MASHINE ya TAMBI na MASHINE ya CRIPS - 0684 863138

MASHINE ZA TAMBI

Zipo za aina nyingi, mimi ninazo aina moja tu.

a) Mashine ya Tambi

Bei yake elfu 35tsh ( 35, 000/=)
Sifa zake
- Inatoa Tambi size za aina nane ( 8).

JINSI YA KUZIPATA NA KULIPIA

Tunalipia baada ya kuipata mashine kwa watu watakao zifata mashine.

Mahali tulipo ( TABATA MWANANCHI ) ipo katikati ya Buguruni na Ubungo kupitia mandela road.

Mikoani zinatumwa, huko kwa njia ya basi.
Wanalipia kabisa.

Hakuna pungufu kwa mashine yeyote.
.
.
.
MASHINE ZA CRISPS

Zipo za aina 2.

a) Mashine Kubwa

Bei yake elfu 25 tsh ( 25, 000/=)
Sifa zake
- Inakata crisps size za aina 8.
- Ina adjastable ambayo inazungusha kisu kupata size.
- Ina regulator kwa ajili ya kuzungusha kisu.
- Ina handle (mkono ) kwa ajili ya kushikia.


b) Mashine ndogo.

Bei yake elfu 20 Tsh (20, 000/=)
Sifa zake
- Inakata crisps size za aina moja tu.
- Ina handle (mkono ) kwa ajili ya kushikia.

JINSI YA KUZIPATA

Tunalipia baada ya kuipata mashine kwa watu watakao zifata mashine.

Mahali tulipo ( TABATA MWANANCHI ) ipo katikati ya Buguruni na Ubungo kupitia mandela road.

Mikoani zinatumwa, huko kwa njia ya basi.
Wanalipia kabisa.

Hakuna pungufu kwa mashine yeyote.
.
.
.
CC : @Gawaza_brain
"Kazi yetu kuelimisha"
EMAIL : mgawaza12@gmail.com
PHONE : 0684-863138 l 0718-567689. Whtsap
©2019.
.
#Gawaza Brain
#Young Leader












0 comments:

Post a Comment