Saturday, January 18, 2020

MASHINE YA TAMBI 2 | Tabata-DSM | 0684-863138

MASHINE ZA CRISPS



Zipo za aina 2.



 a)  Mashine Kubwa



Bei yake elfu 25 tsh ( 25, 000/=)

   Sifa zake

- Inakata crisps size za aina 8.

- Ina adjastable ambayo inazungusha kisu kupata size.

- Ina regulator kwa ajili ya kuzungusha kisu.

- Ina handle (mkono ) kwa ajili ya kushikia.





b) Mashine ndogo.



Bei yake elfu 20 Tsh (20, 000/=)

Sifa zake

- Inakata crisps size za aina moja tu.

- Ina handle (mkono ) kwa ajili ya kushikia.



JINSI YA KUZIPATA



Tunalipia baada ya kuipata mashine kwa watu watakao zifata mashine.



Mahali tulipo ( TABATA MWANANCHI ) ipo katikati ya Buguruni na Ubungo kupitia mandela road.



Mikoani zinatumwa,  huko kwa njia ya basi.

Wanalipia kabisa.



Hakuna pungufu kwa mashine yeyote.

.

.

.

CC : @Gawaza_brain

"Kazi yetu kuelimisha"

EMAIL : mg…

0 comments:

Post a Comment